07. NAKAZA MWENDO

NAKAZA MWENDO
(By Rose Muhando)

Verse 1:
Nafurahia mateso yangu, nafurahia mateso yangu,
Ujapoharibika mwili huu, tapata mwingine kwa Baba,
Ujapoharibika mwili huu, tapata mwingine kwa Baba.

Chorus:
Nakaza mwendo, nifike Mbinguni,
Nayakabidhi, maisha kwa Bwana,
Nauone, uzuri wa bwana x2

Taabu na matatizo, hakuna,
Kiu wala njaa, hakuna x2

Verse 2:
Lakini mji ule taa yake, ni mwana kondoo,
Milele mji ule hauitaji, jua wala mwezi.
Najua kuishi kwangu ni pigo, kufa ni faida.

Chorus:
Nakaza mwendo, nifike Mbinguni,
Nayakabidhi, maisha kwa Bwana,
Nauone, uzuri wa bwana x2

Verse 3:
Lakini waongo na wazinzi, hawataingia,
wala waabudu sanamu, hawataingia x2
Najua kuishi kwangu ni pigo, kufa ni faida.

Chorus:
Nakaza mwendo, nifike Mbinguni,
Nayakabidhi, maisha kwa Bwana,
Nauone, uzuri wa bwana x2

Comments

Popular posts from this blog

03. NYOTA YA AJABU

04. SITANYAMAZA