07. NAKAZA MWENDO
NAKAZA MWENDO
(By Rose Muhando)
Verse 1:
Nafurahia mateso yangu, nafurahia mateso yangu,
Ujapoharibika mwili huu, tapata mwingine kwa Baba,
Ujapoharibika mwili huu, tapata mwingine kwa Baba.
Nafurahia mateso yangu, nafurahia mateso yangu,
Ujapoharibika mwili huu, tapata mwingine kwa Baba,
Ujapoharibika mwili huu, tapata mwingine kwa Baba.
Chorus:
Nakaza mwendo, nifike Mbinguni,
Nayakabidhi, maisha kwa Bwana,
Nauone, uzuri wa bwana x2
Taabu na matatizo, hakuna,
Kiu wala njaa, hakuna x2
Verse 2:
Lakini mji ule taa yake, ni mwana kondoo,
Milele mji ule hauitaji, jua wala mwezi.
Najua kuishi kwangu ni pigo, kufa ni faida.
Chorus:
Nakaza mwendo, nifike Mbinguni,
Nayakabidhi, maisha kwa Bwana,
Nauone, uzuri wa bwana x2
Verse 3:
Lakini waongo na wazinzi, hawataingia,
wala waabudu sanamu, hawataingia x2
Najua kuishi kwangu ni pigo, kufa ni faida.
Lakini waongo na wazinzi, hawataingia,
wala waabudu sanamu, hawataingia x2
Najua kuishi kwangu ni pigo, kufa ni faida.
Chorus:
Nakaza mwendo, nifike Mbinguni,
Nayakabidhi, maisha kwa Bwana,
Nauone, uzuri wa bwana x2
Comments
Post a Comment